Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+

      Na hakuna miungu pamoja nami.+

      Mimi huua, nami hufanya hai.+

      Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+

      Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+

  • Isaya 30:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na nuru ya mwezi mpevu itakuwa kama nuru ya jua linaloangaza; na ile nuru ya jua linaloangaza itaongezeka mara saba,+ kama nuru ya siku saba, siku ile Yehova atakapofunga mvunjiko+ wa watu wake na kuliponya+ jeraha kali linalotokana na pigo kutoka kwake.

  • Yeremia 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya mapigo yako,”+ asema Yehova. “Kwa maana walikuita mwanamke aliyefukuzwa:+ ‘Huyo ni Sayuni, ambaye hakuna yeyote anayemtafuta.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki