26 Na nuru ya mwezi mpevu itakuwa kama nuru ya jua linaloangaza; na ile nuru ya jua linaloangaza itaongezeka mara saba,+ kama nuru ya siku saba, siku ile Yehova atakapofunga mvunjiko+ wa watu wake na kuliponya+ jeraha kali linalotokana na pigo kutoka kwake.
17 “Kwa maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya mapigo yako,”+ asema Yehova. “Kwa maana walikuita mwanamke aliyefukuzwa:+ ‘Huyo ni Sayuni, ambaye hakuna yeyote anayemtafuta.’”+