Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 60:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Jua lako halitatua tena, wala mwezi wako hautafifia; kwa maana Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na siku za kuomboleza kwako zitakuwa zimemalizika.+

  • Habakuki 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao uangavu wake, ukawa kama vile nuru.+ Alikuwa na miale miwili ikitoka mkononi mwake, na hapo ndipo palipofichwa nguvu zake.+

  • Habakuki 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Jua—mwezi—vilisimama tuli,+ kwenye makao yaliyo juu sana.+ Kama nuru mishale yako mwenyewe ikaenda mfululizo.+ Mng’ao wa mkuki wako ukaangaza.+

  • Ufunuo 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+

  • Ufunuo 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, usiku hautakuwapo tena,+ na hawana uhitaji wa nuru ya taa wala hawana nuru ya jua, kwa sababu Yehova Mungu ataangaza nuru+ yake juu yao, nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki