13 katikati ya mchana niliona barabarani, Ee mfalme, nuru inayopita wangavu wa jua ikimulika kutoka mbinguni kunizunguka na kuwazunguka wale waliokuwa wakisafiri pamoja nami.+
3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu+ wake na mwakilisho sawasawa wa utu wake wenyewe,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake;+ na akiisha kuzitakasa dhambi+ zetu aliketi kwenye mkono wa kuume+ wa Ukuu katika mahali pa juu sana.+