Kumbukumbu la Torati 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+Na mkono wangu ushike hukumu,+Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+ Ezekieli 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Umenolewa ili kupanga uchinjaji; umesuguliwa ili upate kumetameta.’ ” ’ ”+ “Au je, tufurahi?”+ “ ‘Je, huo unaikataa fimbo ya enzi+ ya mwana wangu mwenyewe,+ kama unavyoukataa kila mti?+
41 Kwa kweli nikiunoa upanga wangu unaometameta,+Na mkono wangu ushike hukumu,+Nitawalipa kisasi wapinzani wangu+Na kutoa malipo kwa wale wanaonichukia vikali.+
10 Umenolewa ili kupanga uchinjaji; umesuguliwa ili upate kumetameta.’ ” ’ ”+ “Au je, tufurahi?”+ “ ‘Je, huo unaikataa fimbo ya enzi+ ya mwana wangu mwenyewe,+ kama unavyoukataa kila mti?+