Hesabu 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Musa akaanza kumlilia Yehova, na kusema: “Ee Mungu, tafadhali! Mponye, tafadhali!”+ 2 Mambo ya Nyakati 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na baada ya hayo yote Yehova akampiga katika matumbo yake kwa ugonjwa ambao haukuweza kuponywa.+