59 ndipo hakika Yehova atayafanya mapigo yako na mapigo ya uzao wako yawe makali sana, mapigo makuu na yenye kudumu kwa muda mrefu,+ na magonjwa hatari na yenye kudumu kwa muda mrefu.+
17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+