Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mataifa wakawa na ghadhabu, nayo ghadhabu yako mwenyewe ikaja, na wakati uliowekwa kwa ajili ya kuhukumiwa kwa wafu, na kuwapa thawabu+ watumwa wako manabii+ na watakatifu na wale wanaoliogopa jina lako, wadogo kwa wakubwa,+ na kuwaharibu+ wale wanaoiharibu dunia.”+

  • Ufunuo 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akamtupa ndani ya abiso+ na kuifunga na kuitia muhuri juu yake, ili asipotoshe mataifa tena mpaka ile miaka elfu itakapokwisha. Baada ya mambo hayo yeye atafunguliwa kwa muda kidogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki