Hosea 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nilisema na manabii,+ nikazidisha maono, nikaendelea kutoa mifano kupitia mkono wa manabii.+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+ Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+ Matendo 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini katika njia hiyo Mungu ametimiza mambo aliyotangaza kimbele kupitia kinywa cha manabii wote, kwamba Kristo wake angeteseka.+ Waroma 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 aliyoahidi kimbele kupitia manabii+ wake katika Maandiko matakatifu, Waebrania 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+ Yakobo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akina ndugu, wachukueni manabii+ kuwa kielelezo+ cha kupatwa na uovu+ na kuonyesha subira,+ wale waliosema katika jina la Yehova.+ 1 Petro 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Manabii, waliotoa unabii+ juu ya fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa ninyi,+ walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu habari kuhusu wokovu huu.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+
18 Lakini katika njia hiyo Mungu ametimiza mambo aliyotangaza kimbele kupitia kinywa cha manabii wote, kwamba Kristo wake angeteseka.+
1 Mungu, ambaye zamani za kale alisema katika pindi nyingi+ na katika njia nyingi na mababu zetu kupitia manabii,+
10 Akina ndugu, wachukueni manabii+ kuwa kielelezo+ cha kupatwa na uovu+ na kuonyesha subira,+ wale waliosema katika jina la Yehova.+
10 Manabii, waliotoa unabii+ juu ya fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa ninyi,+ walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu habari kuhusu wokovu huu.+