3 Kisha Musa akaja na kuwasimulia watu maneno yote ya Yehova na maamuzi yote ya hukumu,+ nao watu wote wakajibu kwa sauti moja na kusema: “Maneno yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+
25 tangu siku ile mababu zenu walipotoka katika nchi ya Misri mpaka leo hii;+ nami niliendelea kuwatumia ninyi watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema kila siku na kuwatuma.+
21 ambaye mbingu, kwa kweli,+ lazima imweke ndani yake mpaka nyakati za kurudishwa+ kwa mambo yote ambayo Mungu alisema kupitia kinywa cha manabii+ wake watakatifu wa nyakati za kale.