Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Musa akaja na kuwasimulia watu maneno yote ya Yehova na maamuzi yote ya hukumu,+ nao watu wote wakajibu kwa sauti moja na kusema: “Maneno yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+

  • Yeremia 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 tangu siku ile mababu zenu walipotoka katika nchi ya Misri mpaka leo hii;+ nami niliendelea kuwatumia ninyi watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema kila siku na kuwatuma.+

  • Ezekieli 33:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+

  • Luka 1:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 sawa na vile, kupitia kinywa cha manabii wake watakatifu tangu zamani za kale,+ amesema

  • Matendo 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ambaye mbingu, kwa kweli,+ lazima imweke ndani yake mpaka nyakati za kurudishwa+ kwa mambo yote ambayo Mungu alisema kupitia kinywa cha manabii+ wake watakatifu wa nyakati za kale.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki