Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na Yehova akaendelea kuonya+ Israeli+ na Yuda+ kupitia manabii+ wake wote na kila mwonaji,+ akisema: “Geukeni kutoka katika njia zenu mbaya,+ mshike amri+ zangu, sheria+ zangu, kulingana na sheria+ yote niliyowaamuru mababu+ zenu na ambayo nimepeleka kwenu kupitia watumishi wangu manabii”;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+

  • Nehemia 9:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini uliwavumilia kwa miaka mingi+ nawe ukaendelea kutoa ushahidi+ juu yao kwa roho yako kupitia manabii wako, wala hawakutega sikio.+ Mwishowe ukawatia mikononi mwa watu wa nchi hizo.+

  • Yeremia 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova alituma kwenu watumishi wake wote manabii, akiamka mapema na kuwatuma, lakini hamkusikiliza,+ wala hamkutega sikio lenu ili kusikiliza,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki