Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa kwa sababu mliendelea kufanya kazi hizi zote,’ asema Yehova, ‘nami nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkusikiliza,+ nami nikaendelea kuwaita, lakini hamkujibu,+

  • Yeremia 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kwa sababu hawakuyasikiliza maneno yangu,’ asema Yehova, ‘ambayo nimetuma kwao kupitia watumishi wangu manabii, nikiamka mapema na kuwatuma.’+

      “‘Lakini hamkusikiliza,’+ asema Yehova.

  • Yeremia 44:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami niliendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema na kuwatuma,+ nikisema: “Tafadhali, msifanye chukizo la aina hii ambalo nimelichukia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki