Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+

  • Isaya 65:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nimewanyooshea watu wakaidi+ mikono yangu mchana kutwa, wale ambao wanatembea katika njia ambayo si nzuri,+ wakifuata mawazo yao;+

  • Yeremia 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 tangu siku ile mababu zenu walipotoka katika nchi ya Misri mpaka leo hii;+ nami niliendelea kuwatumia ninyi watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema kila siku na kuwatuma.+

  • Yeremia 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova alituma kwenu watumishi wake wote manabii, akiamka mapema na kuwatuma, lakini hamkusikiliza,+ wala hamkutega sikio lenu ili kusikiliza,+

  • Yeremia 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa kuyasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao ninawatuma kwenu, nikiamka mapema na kuwatuma, ambao hamkuwasikiliza,+

  • Yeremia 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 kwa sababu hawakuyasikiliza maneno yangu,’ asema Yehova, ‘ambayo nimetuma kwao kupitia watumishi wangu manabii, nikiamka mapema na kuwatuma.’+

      “‘Lakini hamkusikiliza,’+ asema Yehova.

  • Yeremia 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami niliendelea kutuma kwenu watumishi wangu wote manabii,+ nikiamka mapema na kuwatuma, na kusema, ‘Tafadhali rudini, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ nanyi fanyeni matendo yenu kuwa mema,+ wala msiifuate miungu mingine ili kuitumikia.+ Na mwendelee kukaa katika nchi ambayo nimewapa ninyi na mababu zenu.’+ Lakini hamkutega sikio lenu, wala hamkunisikiliza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki