16 Nao wakaanza kuiondoa miungu ya kigeni kutoka katikati yao,+ na kumtumikia Yehova,+ hivi kwamba nafsi+ yake ikawa haina subira kwa sababu ya taabu ya Israeli.+
23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa.