Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakaanza kuiondoa miungu ya kigeni kutoka katikati yao,+ na kumtumikia Yehova,+ hivi kwamba nafsi+ yake ikawa haina subira kwa sababu ya taabu ya Israeli.+

  • 2 Wafalme 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Basi akawaokoa+ kupitia mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.

  • Nehemia 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+

  • Zaburi 86:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+

      Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+

  • Isaya 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa hiyo Yehova ataendelea kutarajia kuwaonyesha ninyi kibali,+ na kwa hiyo atasimama ili kuwaonyesha ninyi rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa hukumu.+ Wenye furaha+ ni wale wote wanaoendelea kumtarajia.+

  • Maombolezo 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana, ijapokuwa ameleta huzuni,+ hakika pia ataonyesha rehema kulingana na wingi wa fadhili zake zenye upendo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki