Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+ Methali 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetumia ufahamu katika jambo atapata mema,+ naye anayemtegemea Yehova+ ni mwenye furaha.
112 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ ב [Behth]Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+