Mwanzo 41:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo,+ hakuna mtu mwenye busara na mwenye hekima kama wewe.+ Methali 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ufahamu mzuri huleta kibali,+ lakini njia ya wale wanaotenda kwa hila ni ngumu.+
39 Kisha Farao akamwambia Yosefu: “Kwa kuwa Mungu amekuwezesha kuyajua yote hayo,+ hakuna mtu mwenye busara na mwenye hekima kama wewe.+