1 Samweli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi alikuwa akitenda kwa busara+ katika njia zake zote, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ Luka 2:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+
52 Na Yesu akazidi kufanya maendeleo katika hekima+ na ukuzi wa kimwili, akipata kibali kwa Mungu na wanadamu.+