1 Samweli 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.
5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.