7 “Ila tu uwe hodari na mwenye nguvu sana ili uangalie kufanya kulingana na sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu alikuamuru.+ Usiiache, kwenda upande wa kuume wala wa kushoto,+ kusudi utende kwa hekima kila mahali unapoenda.+
30 Nao wakuu+ wa Wafilisti wakawa wakitoka, na ikawa kwamba kadiri walivyotoka mara nyingi ndivyo Daudi alivyotenda kwa busara+ zaidi kati ya watumishi wote wa Sauli; na jina lake likaja kuwa lenye thamani sana.+