44 Naye mfalme akaendelea kumwambia Shimei: “Wewe mwenyewe unajua vema mabaya yote ambayo moyo wako unajua vema kwamba ulimtendea Daudi baba yangu;+ na Yehova hakika atarudisha mabaya yako juu ya kichwa chako mwenyewe.+
7 Mfalme naye akasimama akiwa na ghadhabu+ akatoka kwenye karamu ya divai na kwenda katika bustani ya jumba la mfalme; Hamani naye akasimama kutoa ombi kwa Malkia Esta kwa ajili ya nafsi yake,+ maana aliona kuwa mfalme+ ameazimia mabaya+ juu yake.