Methali 14:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+ Methali 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ghadhabu ya mfalme ni kama wajumbe wa kifo,+ lakini mwenye hekima huigeuza.+
35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+