Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.

  • 1 Wafalme 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kisha Mfalme Sulemani akaambiwa: “Yoabu amekimbia akaenda katika hema la Yehova, na tazama, yupo kando ya madhabahu.” Kwa hiyo Sulemani akamtuma Benaya mwana wa Yehoyada, akisema: “Nenda, mshambulie!”+

  • Methali 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+

  • Methali 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+

  • Danieli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Nebukadneza, akiwa na ghadhabu na hasira,+ akasema Shadraki, Meshaki na Abednego waletwe ndani.+ Basi wanaume hao wakaletwa mbele ya mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki