Methali 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,+ na mtu yeyote mwenye mwelekeo wa ghadhabu ana makosa mengi.+ Danieli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo mfalme akakasirika na kuwa na ghadhabu sana,+ naye akaagiza watu wote wenye hekima wa Babiloni waangamizwe.+
12 Kwa sababu hiyo mfalme akakasirika na kuwa na ghadhabu sana,+ naye akaagiza watu wote wenye hekima wa Babiloni waangamizwe.+