Methali 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ghadhabu ya mfalme ni kama wajumbe wa kifo,+ lakini mwenye hekima huigeuza.+ Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+ Methali 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+
12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+
2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+