23 Kwa hiyo Mfalme Sulemani akaapa kwa Yehova, akisema: “Mungu na anitendee hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa Adoniya hakusema jambo hili dhidi ya nafsi yake mwenyewe.+
7 Mfalme naye akasimama akiwa na ghadhabu+ akatoka kwenye karamu ya divai na kwenda katika bustani ya jumba la mfalme; Hamani naye akasimama kutoa ombi kwa Malkia Esta kwa ajili ya nafsi yake,+ maana aliona kuwa mfalme+ ameazimia mabaya+ juu yake.