Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+

  • Ruthu 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pale utakapokufa nitakufa nami,+ na hapo ndipo nitakapozikwa. Yehova na anitende hivyo na kuzidi+ ikiwa chochote isipokuwa kifo kitatutenganisha mimi na wewe.”

  • 1 Samweli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akaendelea kusema: “Ni neno gani alilosema nawe? Tafadhali usinifiche hilo.+ Mungu na akufanyie hivyo naye aliongezee+ hilo ukinificha neno moja kati ya maneno yote ambayo amekuambia.”

  • 2 Samweli 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nanyi mwambieni Amasa,+ ‘Je, wewe si mfupa wangu na nyama yangu? Basi Mungu na anifanyie hivyo na kuzidisha+ jambo hilo ikiwa hutakuwa mkuu wa jeshi mbele yangu sikuzote badala ya Yoabu.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki