17 Pale utakapokufa nitakufa nami,+ na hapo ndipo nitakapozikwa. Yehova na anitende hivyo na kuzidi+ ikiwa chochote isipokuwa kifo kitatutenganisha mimi na wewe.”
17 Naye akaendelea kusema: “Ni neno gani alilosema nawe? Tafadhali usinifiche hilo.+ Mungu na akufanyie hivyo naye aliongezee+ hilo ukinificha neno moja kati ya maneno yote ambayo amekuambia.”
13 Nanyi mwambieni Amasa,+ ‘Je, wewe si mfupa wangu na nyama yangu? Basi Mungu na anifanyie hivyo na kuzidisha+ jambo hilo ikiwa hutakuwa mkuu wa jeshi mbele yangu sikuzote badala ya Yoabu.’”+