Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+

  • Kumbukumbu la Torati 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+

  • Zaburi 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

  • Zaburi 128:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+

      Anayetembea katika njia zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki