Kumbukumbu la Torati 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+ Kumbukumbu la Torati 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+ Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Zaburi 128:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+Anayetembea katika njia zake.+
12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+
4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+