Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akaendelea kusema: “Usinyooshe mkono wako juu ya huyo mvulana wala usimtendee jambo lolote kamwe,+ kwa maana sasa mimi najua kwamba wewe unamwogopa Mungu kwa kuwa hukunizuilia mwana wako, mwana wako wa pekee.”+

  • Zaburi 19:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.

      Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+

  • Hosea 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye wana wa Israeli watarudi na hakika watamtafuta Yehova Mungu wao,+ na Daudi mfalme wao;+ nao watakuja kwa Yehova+ na kwa wema wake wakitetemeka katika siku za mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki