5 kwa sababu ya uhakika wa kwamba Abrahamu alisikiliza sauti yangu na kuendelea kushika wajibu wake kwangu, amri zangu, masharti yangu, na sheria zangu.”+
10 Hivi ndivyo upendo ulivyo, si kwamba sisi tumempenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda akamtuma Mwana wake kuwa dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu.+