9 Mwishowe wakafika mahali ambapo Mungu wa kweli alikuwa amemwonyesha, naye Abrahamu akajenga madhabahu+ hapo na kuziweka kuni kwa utaratibu, akamfunga Isaka mwana wake mikono na miguu na kumweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni.+
12 Naye akaendelea kusema: “Usinyooshe mkono wako juu ya huyo mvulana wala usimtendee jambo lolote kamwe,+ kwa maana sasa mimi najua kwamba wewe unamwogopa Mungu kwa kuwa hukunizuilia mwana wako, mwana wako wa pekee.”+