Mwanzo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea. Kutoka 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikiwa utanifanyia madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe yaliyochongwa. Ikiwa utatumia tindo juu yake, basi utaitia unajisi.+ Waebrania 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kutokana nayo.+
7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.
25 Na ikiwa utanifanyia madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe yaliyochongwa. Ikiwa utatumia tindo juu yake, basi utaitia unajisi.+
10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kutokana nayo.+