8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako ile nchi ya makao yako ya kigeni,+ naam, nchi yote ya Kanaani, ili kuimiliki hata wakati usio na kipimo; nami nitajionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwao.”+
4 Na Yehova akamwambia: “Hii ndiyo nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+ Nimekufanya uione kwa macho yako mwenyewe, kwa maana wewe hutavuka kuingia huko.”+