7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.
7 Yehova Mungu wa mbingu, aliyenichukua kutoka katika nyumba ya baba yangu na kutoka katika nchi ya watu wa jamaa yangu+ na ambaye alisema nami na ambaye aliniapia,+ akisema, ‘Nitaupa uzao wako+ nchi hii,’+ atatuma malaika wake mbele yako,+ nawe utachukua mke huko kwa ajili ya mwanangu.+
33Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda, ondoka hapa, wewe na watu uliowaongoza kutoka nchi ya Misri,+ mpaka kwenye nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+