7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.
3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+
9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+