18 Ijapokuwa alikuwa amepita hali ya kuwa na tumaini,+ bado kwa kutegemea tumaini alikuwa na imani, ili awe baba ya mataifa+ mengi kwa kupatana na yale yaliyokuwa yamesemwa: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+
8 Kwa imani Abrahamu,+ alipoitwa, alitii kwa kutoka akaenda na kuingia mahali alipokusudiwa kupokea kuwa urithi; naye akatoka, ijapokuwa hakujua mahali alipokuwa akienda.+
23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova, na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu,”+ naye akaitwa “rafiki ya Yehova.”+