5 Basi Abramu akamchukua Sarai mke wake+ na Loti mwana wa ndugu yake+ na mali zote ambazo walikuwa wamekusanya+ na nafsi ambazo walikuwa wamejipatia katika Harani, nao wakaenda nchi ya Kanaani.+ Mwishowe wakafika katika nchi ya Kanaani.
4 Ndipo akatoka nchi ya Wakaldayo na kuanza kukaa Harani. Na kutoka huko, baada ya baba yake kufa,+ Mungu akamfanya abadili makao yake mpaka kwenye nchi hii ambamo ninyi sasa mnakaa.+