4 ‘Nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni. Nami nitaupa uzao wako nchi zote hizi;+ na kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia yatajibariki,’+
5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+