Mwanzo 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+ Waroma 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa Abrahamu,+ bali: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+
12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+
7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa Abrahamu,+ bali: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+