Mwanzo 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Mungu akasema: “Sara mke wako kwa kweli atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Isaka.+ Nami nitafanya agano langu pamoja naye kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo kwa uzao wake baada yake.+ Waroma 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa Abrahamu,+ bali: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+ Waebrania 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ijapokuwa alikuwa ameambiwa: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+
19 Basi Mungu akasema: “Sara mke wako kwa kweli atakuzalia mwana, nawe utamwita jina lake Isaka.+ Nami nitafanya agano langu pamoja naye kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo kwa uzao wake baada yake.+
7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa Abrahamu,+ bali: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+