Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye Yehova akamtokea usiku huo na kusema: “Mimi ni Mungu wa Abrahamu baba yako.+ Usiogope,+ kwa sababu mimi nipo pamoja nawe, nami nitakubariki wewe na kuuzidisha uzao wako kwa sababu ya Abrahamu mtumishi wangu.”+

  • Zaburi 105:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Agano ambalo alifanya na Abrahamu,+

      Na ahadi yake yenye kiapo aliyomwapia Isaka,+

  • Luka 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

  • Wagalatia 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi, akina ndugu, sisi ni watoto wa ahadi kama Isaka alivyokuwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki