Waroma 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao. Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+
8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao.
29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+