Hesabu 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+ Kumbukumbu la Torati 32:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kwa maana kutoka mbali utaiona nchi, lakini hutaingia katika nchi ninayowapa wana wa Israeli.”+
12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+