Kumbukumbu la Torati 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, naye Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee,+ kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi. Zaburi 105:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akisema: “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani+Kuwa fungu la urithi wenu.”+
2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, naye Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee,+ kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.