1 Wakorintho 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu? 1 Wakorintho 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazameni kile ambacho ni Israeli kwa njia ya kimwili:+ Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?
18 Tazameni kile ambacho ni Israeli kwa njia ya kimwili:+ Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+