18 Hakuna mtu ambaye ameichukua kutoka kwangu, bali ninaitoa kwa uamuzi wangu mwenyewe. Nina mamlaka ya kuitoa, nami nina mamlaka ya kuipokea tena.+ Amri+ kuhusu hili niliipokea kutoka kwa Baba yangu.”
32 Sasa kifungu cha Andiko alichokuwa akisoma kwa sauti kubwa kilikuwa hiki: “Kama kondoo aliletwa machinjioni, na kama mwana-kondoo asiye na sauti mbele ya mwenye kumnyoa, ndivyo huyo asivyofungua kinywa chake.+