Waebrania 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 lakini tunamwona Yesu, ambaye alikuwa amefanywa kuwa mdogo kidogo kuliko malaika,+ amevikwa taji la utukufu+ na heshima kwa kupatwa na kifo,+ ili kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mwanadamu.+ Waebrania 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo wakati yeye anapokuja katika ulimwengu anasema: “ ‘Dhabihu na toleo wewe hukutaka,+ bali ulinitayarishia mwili.+
9 lakini tunamwona Yesu, ambaye alikuwa amefanywa kuwa mdogo kidogo kuliko malaika,+ amevikwa taji la utukufu+ na heshima kwa kupatwa na kifo,+ ili kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mwanadamu.+
5 Kwa hiyo wakati yeye anapokuja katika ulimwengu anasema: “ ‘Dhabihu na toleo wewe hukutaka,+ bali ulinitayarishia mwili.+