Zaburi 50:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi siwakaripii kuhusiana na dhabihu zenu,+Wala kuhusiana na matoleo yako mazima ya kuteketezwa yaliyo mbele zangu daima.+ Amosi 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini ninyi mkinitolea matoleo mazima ya kuteketezwa,+ hata katika matoleo yenu ya zawadi sitapata furaha,+ wala sitatazama dhabihu zenu za ushirika za vinono.+
8 Mimi siwakaripii kuhusiana na dhabihu zenu,+Wala kuhusiana na matoleo yako mazima ya kuteketezwa yaliyo mbele zangu daima.+
22 Lakini ninyi mkinitolea matoleo mazima ya kuteketezwa,+ hata katika matoleo yenu ya zawadi sitapata furaha,+ wala sitatazama dhabihu zenu za ushirika za vinono.+