Isaya 50:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amelifungua sikio langu, nami kwa upande wangu sikuwa mwasi.+ Sikugeuka upande ulio kinyume.+ Yohana 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndiyo sababu Baba ananipenda,+ kwa sababu ninaitoa nafsi yangu,+ ili nipate kuipokea tena. Waebrania 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ijapokuwa yeye alikuwa Mwana, alijifunza kutii kutokana na mambo aliyoteseka;+
5 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amelifungua sikio langu, nami kwa upande wangu sikuwa mwasi.+ Sikugeuka upande ulio kinyume.+