Zaburi 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hukupendezwa na dhabihu na toleo;+Haya masikio yangu uliyafungua.+Hukutaka toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi.+ Zaburi 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Mungu wangu, nimependezwa na kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako imo ndani yangu.+
6 Hukupendezwa na dhabihu na toleo;+Haya masikio yangu uliyafungua.+Hukutaka toleo la kuteketezwa na toleo la dhambi.+