1 Wakorintho 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+ 1 Wakorintho 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+
11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+
20 Hata hivyo, sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ matunda ya kwanza+ ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+